Wednesday, June 27, 2012

50 CENT ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI AFTER BAD CAR CRASH

                                            Gari aliyopatia ajali 50 cent
                   

                                               50 Cent akipelekwa hospitali

Rapa 50 cent ameruhusiwa kutoka hospital baada ya kupata ajali mbaya ya gari asubuhi ya jumanne (26.6). 50 cent alipata ajali hiyo katika jiji La NEW YORK na alipelekwa katika hospitali ya New York Hospital Queens, ambako alipatiwa matibabu haswa katika maeneo ya shingoni alipokua amepata majeraha kadhaa.

No comments:

Post a Comment