Tuesday, September 13, 2011

Jordan alimwa fine.

Me pia ni mchezaji maarufu wa zamani wa mpira wa kikapu ambaye pia ni mmiliki wa timu ya kikapu ya Bobcats Michael Jordan amepigwa fain ya $100000 na NBA kutokana na kauli za kashfa alizozitoa kuhusu NBA. Nyota huyo wa zamani wa Chicago Bulls alisema kua mfumo wa sasa wa NBA ni mbovu na hauzisaidii timu ndogo.

1 comment: