Albam ya raper wa kimarekani Lil Wayne "Weezy" imeendelea kushika namba moja ndani ya billboard top 200 best selling album. Hata hivyo Weezy ambaye aliachia albam ya
iam not a human being baada ya kutoka jela ameshindwa kufikia mafanikio ya albam yake iliyopita
The carter 3 ambayo iliuza zaidi ya ya kopi million moja kwa wiki ya kwanza ambapo
the carter 4 imeuza takriban kopi 940000 katika wiki yake ya kwanza.
No comments:
Post a Comment