Wednesday, February 15, 2012

MAPACHA WENYE UMRI MKUBWA DUNIANI





Ni Ena na Lily ndio mapacha wenye umri mkubwa duniani. mapacha hao wamesherehekea umri wa miaka 102,  kama mapacha enye umri mkubwa duniani na pia anatarajia kuspend pamoja katika kusherehekea huko. Mapacha hao Ena Pugh na Lily Millward ambao wamezaliwa 4 january 1910 amekuaa na tabia ya kusherehekea siku yao ya kuzaliwa kwa pamoja.

No comments:

Post a Comment