Jim Jones akiwa na Juelz Santana
Jim Jones amekamatwa jumatatu (tar. 27 feb.) baada ya kugundulika kuwa antumia leseni ambayo imekwisha tumika. Rapa huko alikula pingu kwa dakika kadhaa kabla ya kuachiwa baada ya muda mchache. Msemaje wa rapa huyo alisema Jones alikamatwa kimakosa kwani yeye alikua haendeshi gari na alikua ametulia kwenye siti ya pembeni. Pia kuhusu leseni ya Jones kuwa suspended alisema anadhani kuna errors kwenye system ya leseni.
No comments:
Post a Comment