Rick Ross akiwa na MMG members ndani ya New York’s Hot 97 radio.
Rapa anaekimbiza pande za USA na world wide, Rick Ross ambaye pia ni kiongozi wa kundi la Maybach Music Group (MMG) amesema kwa sasa hana mpango wa kuasaini mwanamuziki yoyote bali ame concetrate katika project za members wa kundi lake. Hata hivyo amesema kadri muda unavyokwenda atazidi kusaini wasanii wakali kwani ndo mipango yake kusaini wasanii wakali ambao ni chipukizi. Rick ross aliongea hayo alipokua akihojiwa na kituo cha radio cha New York’s Hot 97pande za USA.
Wednesday, June 27, 2012
50 CENT ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI AFTER BAD CAR CRASH
Gari aliyopatia ajali 50 cent
50 Cent akipelekwa hospitali
Rapa 50 cent ameruhusiwa kutoka hospital baada ya kupata ajali mbaya ya gari asubuhi ya jumanne (26.6). 50 cent alipata ajali hiyo katika jiji La NEW YORK na alipelekwa katika hospitali ya New York Hospital Queens, ambako alipatiwa matibabu haswa katika maeneo ya shingoni alipokua amepata majeraha kadhaa.
50 Cent akipelekwa hospitali
Rapa 50 cent ameruhusiwa kutoka hospital baada ya kupata ajali mbaya ya gari asubuhi ya jumanne (26.6). 50 cent alipata ajali hiyo katika jiji La NEW YORK na alipelekwa katika hospitali ya New York Hospital Queens, ambako alipatiwa matibabu haswa katika maeneo ya shingoni alipokua amepata majeraha kadhaa.
Tuesday, February 28, 2012
COMMON AMALIZA BEEF NA DRAKE
Rapper Common ambaye alimdiss Drake wazi wazi kwenye nyimbo ya Rick ross (stay schemin rmx) amedai kua beef lake na Drake limekwisha. Common aliyaongea hayo kwenye red carpet ya Grammy awards na hakutoa sababu zozote za kumaliza beef hilo. Common pia aliwahi kumchana Drake katika track inayoitwa sweet.
JIM JONES MATATANI BAADA YA KUVUNJA SHERIA ZA BARABARANI
Jim Jones akiwa na Juelz Santana
Jim Jones amekamatwa jumatatu (tar. 27 feb.) baada ya kugundulika kuwa antumia leseni ambayo imekwisha tumika. Rapa huko alikula pingu kwa dakika kadhaa kabla ya kuachiwa baada ya muda mchache. Msemaje wa rapa huyo alisema Jones alikamatwa kimakosa kwani yeye alikua haendeshi gari na alikua ametulia kwenye siti ya pembeni. Pia kuhusu leseni ya Jones kuwa suspended alisema anadhani kuna errors kwenye system ya leseni.
Jim Jones amekamatwa jumatatu (tar. 27 feb.) baada ya kugundulika kuwa antumia leseni ambayo imekwisha tumika. Rapa huko alikula pingu kwa dakika kadhaa kabla ya kuachiwa baada ya muda mchache. Msemaje wa rapa huyo alisema Jones alikamatwa kimakosa kwani yeye alikua haendeshi gari na alikua ametulia kwenye siti ya pembeni. Pia kuhusu leseni ya Jones kuwa suspended alisema anadhani kuna errors kwenye system ya leseni.
Friday, February 17, 2012
SCOTT STORCH AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA
Umaarufu wa producer Scott Storch ulishuka miaka michache iliyopita kutokana na jamaa kuwa addicted katika matumizi ya madawa ya kulevya na matumizi mabaya ya pesa yaliyopelekea mapato ya jamaa kupungua. Mwaka 2009 jamaa alirudi kwenye chati baada ya kwenda rehab iliyomsaidia kurudisha maisha yake kwenye mstari. Hata hivyo imeonekana ni vigumu sana kwa producer huyo kuacha lifestyle ya kutumia drugs baada ya jamaa kukamatwa na 2.7grammes za cocaine, tarehe 4 February mida ya 8.30am ndani ya Cosmopolitan Hotel huko Las Vegas. Hata hivyo jamaa aliachiwa baada ya kuweka bond ya $5k.
Thursday, February 16, 2012
Wednesday, February 15, 2012
MAPACHA WENYE UMRI MKUBWA DUNIANI
Ni Ena na Lily ndio mapacha wenye umri mkubwa duniani. mapacha hao wamesherehekea umri wa miaka 102, kama mapacha enye umri mkubwa duniani na pia anatarajia kuspend pamoja katika kusherehekea huko. Mapacha hao Ena Pugh na Lily Millward ambao wamezaliwa 4 january 1910 amekuaa na tabia ya kusherehekea siku yao ya kuzaliwa kwa pamoja.
BOBY BROWN ACHANGANYIKIWA KUSIKIA HATAKIWI KATIKA MAZISHI YA WHITNEY HOUSTON
Mume wa zamani wa marehemu Whitney Houston, Boby Brown amesikitika baada ya kupata taarifa kutoka katika baadhi ya wanafmilia wa marehemu wakimtaka asihudhurie katika mazishi ya Whitney kwa kua fsmilia haimtambui. Hata hivyo Boby bado hajapata official invitation kutoka katika familia ya marehemu Whitney. Boby anataka kuhudhuria mazishi ya mwanamama huyo ili aweze kumsapoti binti yake Bobbi Kristina ambaye alizaa na marehemu Whitney Houston.
CHRISTINA MILIAN AJIUNGA YOUNG MONEY
Weekend iliyopita lil wayne ametangaza kua atamtambulisha rasmi Christina Milian katika family ya young money katika Cash money pre-grmmys bash. Hata ilikua bado haijathibitishwa officially na mwnadada huyo, so bibie huyo kafunguka hewan katika kituo cha radiocha 97.1 AMP na kusema "najiunga young money... nimesha saini..na ninajisikia poa sana, pia wekend hii tutakua na bonge la party ". GOOD LUCK BIBIE
Subscribe to:
Posts (Atom)